Recent content by mtoto wa kunyumba

  1. M

    ufukuzwa chuo kwa kuendekeza ngono

    inatuhusu nini mbwida ww....yani watu wengine ----- ww
  2. M

    Wale wa uchumi,weka neno la kiuchumi ambalo huwezi kulisahau..

    daahh..mm account name yako tu imeniacha hoi ile mbaya"batmanwafez"
  3. M

    Wale wa uchumi,weka neno la kiuchumi ambalo huwezi kulisahau..

    daahh mbrazil umenikumbusha mbali Irving fisher quantity theory of mtonyo...ila mi nilipataga "B" namshukuru sana mwl.wangu padre daniel domakuu na Mungu ampe maisha marefu
  4. M

    Bodi ya mikopo - elimu ya juu

    b..w..e..g...e..unazani kirahisi hivyo...
  5. M

    Vyuo vikuu ambavyo wanafunzi wake wanaongoza kudisco.....!

    ujumbe umefika...dogo boya sana wewe au unafikiri kila sehemu kubisha´..
  6. M

    Joining instruction sua&medical form[form c]

    msipojazia kitaa kwa elfu tano mkuja huku hadi 15000 hadi 25000
  7. M

    Kwa wale wa sua na vyou vingine kama unajua utaratibu wa chuo cha sua nahitaji msaada

    jiandae kutoa 80000 na pale huwa hakunaga mgomo....pia join instruction zipo huwa wanatoa kule main campus kama unaharaka nenda hata kesho kuchukua ili upige dili ujaze kwa daktari kwenu huko na zingine siku ya kuripoti unaenda pale mazimbu pia huwa wanatoa ila jiandae kutoa 10000 hadi 20000...
  8. M

    Kwa wale wa sua na vyou vingine kama unajua utaratibu wa chuo cha sua nahitaji msaada

    mwaka jana ilikuwa hivyo vijana wakaambiwa waongeze elfu mbili ili iwe 80000...so huwezi jua mwaka huu inaweza kuwa zaidi ya hapo..karibu sana
  9. M

    Kwa wale wa sua na vyou vingine kama unajua utaratibu wa chuo cha sua nahitaji msaada

    kwanza hongera sana kwa kuchaguliwa hiyo kozi ya AEA...ada kama unayo ni bora ukalipa kabisa sasa hivi..ila kama uliomba bodi ni busara ukangoja watakavyotoa majina ili ujue utalipa kiasi gani...then ishu ya hostel either ulipie kabisa ila siku ile uwahi na pay slip mana mara nyingi bank za kule...
  10. M

    Sokoine university of agriculture

    daahh dogo hongera kwa kupata kozi ambayo hata mimi mwenyewe niliipenda...bank yoyote unayoijua ww inakuhusu,wizara ya kilimo,fedha,BOT(mfano kimei kabla ya kwenda crdb alikuwa hapa),UNO(ndo wamejazana sana huko,NGOs kibao za kilimo na ktk long run wawekezaji watakuwa wengi zaidi kwenye kilimo...
  11. M

    boom boom boom boom

    kumjibu mjinga yahitaji hekima ya hali ya juu mnooo....
  12. M

    boom boom boom boom

    kumjibu mjinga yahitaji hekima ya hali ya juu mnooo....
  13. M

    boom boom boom boom

    unaona unavojibu kama upo fb
  14. M

    boom boom boom boom

    unaleta story za facebook kwa great thinkers....boya mkubwa wewe
  15. M

    Hello

    huyu dogo oil sumu boya sana...mimi mkuu nakuunga mkono kama huyu dogo ndo manager mimi narudi kusomea upadre........
Back
Top Bottom