Huwa kwa kawaida mtesaji mkubwa wa mwalimu ni mwalimu mwenzake.Kutokana na mwalimu huyu kujua udhaifu wa mwalimu ameamua kuutumia udhaifu walionao walimu kuwakandamiza.
Hivi Leo mwalimu pamoja na maisha magumu ambayo yanamwandama lakini bado analazimishwa kutoka nyumbani kwake alafu akapange...
Kwa sheria za makosa barabarani sio kila kosa linatozwa faini makosa mengine,niyakumwelimisha mwongoza chombo cha moto basi ukimwelimisha kulingana na mzingira utakuta kosa hilo halirudii tena,lakini kwa sasa hata hujaambiwa kosa lako nini ushaombwa leseni Namba zishaingizwa kwenye machine,alafu...
Umeeleza yote kwangu nilichokielewa naninachosubiri in hapo uliposema uongo unadumu kwa muda mfupi lakini ukweli unaishi milele.Kwa maelezo ya Zitto mkweli atajulikana tu.
Lizibon hebu tulia kidogo kwa muda wa dk 5 utafakari kisha omba Unayemuami ama ni Mungu au mizimu akupatie busara kidogo japo kama punje ya haradali kisha urudi kuanza kuandiki ulichojaliwa,kwani sasa unajivua nguo hadharani kwa kuanza kutapika ulivyokula bila kulazimishwa na mtu yoyote.
Hivi...
Waandishi wa habari wanao mshangaa ztt nafikiri niwale ambao wanamda mrefu hawajapata mshahara,hivyo kwa hali ngumu waliyona nayo nadhani ndio wamepata nafasi ya kusogelea ndege japo kupiga nayo picha tu kwani hata milango ya hizi za kila siku wanaiona kwenye picha.
Tafadhali sana Mzee wangu Lukuvi katika mawaziri wa awamu hii ya tano wewe ni number one wangu chonde chonde Baba achana kabisa na kauli za namna hii zitakuharibia kabisa kwani wewe pekee ndiwei umebaki waziri kiyoo cha serikali hii,wengine wote wanafwata mkumbo mkubwa kasema nini na yeye aseme...
OK Mimi nisemetu sijaelewa wanasema Rais kapunguza mshahara wake.Kwanihapo awali tulishawahi kujua aliyemaliza mda wake ashawahi kutuambia analipwa shilingi ngapi? Kwa mujibu wa sheria mshahara wa mtu in siri yake mpaka hapo atakapoamua kusema yeye mwenyewe.
Ok kwakuwa tumeamini kuwa huyu...
Pekee kinachoniuma nikuibuliwa kwa kashfa kubwa kama hizi kisha mwisho wa siku hakuna faida yoyote tunayoipata watazanzania.
Tunaishia kujua tu kuwa kiasi kile tulichoibiwa ni zaidi ya kile tulichoibiwa kipindi kila basi tunachambua weee humu kwenye mitandao bila kupata faida yoyote baada ya...
Mkuu miradi hii sio ya kizazi cha Leo tunaandaa kwa ajili ya watu wajao Mkuu.
Kama tutafanya mambo kwa kuaangalia Leo hatuwezi kufika Mkuu.sisi tayari tulishakosea na tulishajengwa hivyo sasa tusitake na vizazi vijavyo navyenyewe viseme havina milioni hamsni.
Shida ya sisi wabongo tunapenda...
Kama nikweli hii habari imenisikitisha na kunikatisha tamaa
Miradii hii ni miradi ambayo kama ilivyoratibiwa ni njia mojawapo ya kutufanya watanzani kutoka hapa tulipo na kuanza kufikiria kuwa katika ulimwengu wakutambulika.
Lakini pia hii ni njia mojawapo ya kumkomboa huyu mtanzania ambaye Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.