Recent content by mti mrefu

  1. M

    Mvumi dodoma

    Naomba unichekie kamaunaweza jina la dada yangu anaitwa anitha patrick manda.
  2. M

    vyuo vya ualimu

    sasa hvi wa2 wanaangali wapi kwenye maslahi zaidi, nibora ukapata hicho hicho kidogo kuliko kukosa kabisa, 2meona wa2 wangapi NA ma degree yao wameishia mtaani , mi nadhani EDUCATION IKOPOWA
  3. M

    naombeni ushauri wenu

    naombeni msaada wenu jamani. nime aply vyuo viwili, MIpango, na EDUCATION, lakini mipango nimepata nakuhusu ualimu bado hawajatoa post hadi sasa, nafikiria sana kuhusu hili naweza nikasubri hadi postzitoke then nisipate kwa upande mwengine nikawa nimesha chelewa mipango kwasabu wamesha fungua...
Back
Top Bottom