Recent content by mtembezi61

  1. M

    JamiiForums Tanzania Form a confederation badala ya kuvunja Muungano

    Huyo mwandishi Godfrey Mwakikagile ni Nyerereist na pia Panafricanist katika mawazo yake. Simjui lakini nimesoma baadhi ya vitabu vyake. Ana mawazo ya Nyerere na ya kina Nkrumah na Sekou Toure kutaka nchi za Kiafrika ziungane. Ndiyo mawazo ya miaka ile ya 1960s. Ukimsoma vizuri, inaonekana...
Back
Top Bottom