WANAFUNZI WAFUNDISHWE SANAA SHULENI.
Sanaa ni ufundi au ujuzi ambao unatokana na fikra za mwanadamu na kuwasilisha kwa wengine. Sanaa imebaba matawi mbalimbali kama vile ushonaji, muziki, uhunzi, Ufinyanzi, uchoraji,fasihi,maonyesho na utarizi.
Ufundishwaji wa sanaa shuleni kutokea ngazi ya...