Recent content by mtegemea Mungu

  1. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Kumbe kakaangu ww ni msukumaa, hapo nimeelewa ila punguzeni kidogo daah! Mnaumiza makabila mengine undugulization unazidi jamani...mtuhurumiee
  2. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Yaani mkuu, kuna msemo unasema mtaka nyingi nasaba hupata mingi misiba, ukiendekeza mandugu na kutaka kuonekana mwema maendeleo utayasikia kwa jirani! Ni wanafki na washirikina wakutaka ufeli wacheke...achana nao jali familia yako tu, wwo wape kiasi na wasikuzoee watapeana taarifa tu.
  3. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Yaani uataishia kulisha watu na ushirikina watakufanyia utabaji maskini wa kutupwa wakucheke sasa.
  4. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Yaan hao ndio rais wa dunia Joannah
  5. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Si bora wacheke watanyamaza my dear, kuna wengine ndio wanakua chanzo cha wewe kuanguka kabisa
  6. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Hii ndio tabia halisi ya Muafrika, sasa chagua sifa za kijinga au maendeleo yako
  7. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Dah umeniwahi, watu wa tanga na wasukuma ni keroooo, na ni wanafki ukiwa nacho utawaona usipokua nacho hutakaa uwaone kamwe! Wa nini sasa? Fukuza
  8. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Usisahau rais wao ni msukuma
  9. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Na ndio maana wameendelea lbd kuzif makabila yote hawa jamaa na mara nyingi wanaoa wahaya sababu ni wabinafsi wenzao na hawataki tegemezi la kupitiliza, Africa hatuendelei sababu ya tegemezi...ni too much na cha maana hakuna zaidi ya kurudishwa nyuma kimaendeleo na kufitiniwa tu...jikute una...
  10. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    The guy is too clever[emoji23], ukitafuta uzuri utaishia kua maskini.
  11. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Sio kila mtu anasaidiwa bwana...Africa tunachosha na ma extended family, mpk mtu unachelewa kufanya maendeleo beana kisa kulisha na kusomesha watu na shukrani hawana zaidi ya ushirikina na unafki tu.
  12. mtegemea Mungu

    Nimechoka kupokea wageni

    Sio kanda ya ziwa bro, iatkua msukuma au mtu wa tanga maana hizi kabila kwa wageni hazijambo
  13. mtegemea Mungu

    Maisha yanaenda kasi sana

    R.i.p baba yangu mzazi, nakukumbuka sana binti yako wa pekee, Nuru ya milele ikuangazie upendo wako kwangu hautakaa ufutike[emoji24] R.i.p mama yangu mdogo mpenz uliekua na roho nzuri kuliko mtoto yoyote wa bibi yangu..tunakujumbuka sana watoto wako na dada yako anaumia sana sababu mliishi km...
  14. mtegemea Mungu

    Maisha yanaenda kasi sana

    Pole sana kaka!
  15. mtegemea Mungu

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    Dada relax hiyo mzungu kakupenda, mzungu tena kijana hivyo akupe his personal details na kukutumia kiasi cha pesa km hicho! Sio kizembe hivyo Muombee tu azidi kukupenda na amekutumia hela nyingi tu maana hela ya norway sio kubwa km dollar au pound so ni amekutumia hla ya kueleweka ht huko...
Back
Top Bottom