Ndugu zangu, tuseme ukweli usiofunikwa na siasa za kupaka sukari!"
Wafuasi wa CHADEMA wamegawanyika katika njia tatu — na kila njia ina hadithi yake.
Waliokimbilia CHAUMA
Hawa ni wanasiasa waliochukua uamuzi si kwa tafakari ya kina, bali kwa msukumo wa kundi. Ni kama mtu anayeongozwa na kelele...
Ninapoangalia mwenendo wa sasa ndani ya chama chetu, nahisi kuna upungufu mkubwa wa viongozi wenye maono. Kiongozi sahihi anapaswa kuwa na "jicho la tatu" – yaani uwezo wa kuona changamoto kabla hazijatokea, na kuchukua hatua stahiki kwa wakati.
Leo hii tuko ndani ya mchakato nyeti wa uchaguzi...
CCM inaweza kuwa inafanya “legitimization” ya maamuzi ambayo tayari yalishachukuliwa bila kufuata Katiba kikamilifu – sasa wanajaribu kusahihisha kiufundi ili yasiwe kinyume cha taratibu.
Pili Kwa chama ambacho ina wanachama wengi vijijini kikao Cha mtandao siyo inclusive kwani bado tuna...
Wapo wanaoikosoa CCM kwa kile kinachoonekana kuwa ni "uteuzi usio wa kidemokrasia" wa mgombea urais kwa 2025. Lakini swali la msingi ni: Huu ni upendeleo au ni utaratibu wa muda mrefu ndani ya chama?
Historia inaonyesha wazi: Nyerere mwenyewe alitumia ushawishi wake kumteua
Ally Hassan...
Sawa inaweza lakin saiv akisema Kuna utekaji tuseme hapan kwasababu
Akitokea mtu ambaye alikuwa kwenye system akisema Kuna utekaji ina impact zaidi Kwa WANanchi kuliko wanasias wetu wa upinzani ndio maana inavyotokea mtu kam huyo basi hatua za harak na tahadhari huchukiliwa
Angalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.