Recent content by Mtapwata

  1. M

    Vodacom Hawajitambui.

    Voda wameniboa sana,,mi nilizoea kila wiki najiunga na bando la 500mb kwa jero Leo wanatoa 250mb,,yani nawakimbia rasmi Leo naenda ttcl..tutaonana Siku mkija na of a nzuri...hizi ni kero kwa wateja mjue pia.
Back
Top Bottom