Napata shida kubwa juu ya tetesi zinazoendelea ya kwamba simba inaweza kumtema kipa mbrazil aliyesajiliwa hivi karibuni kwa sababu eti ana majeraha!!!
Siwezi kusema Sana juu ya tetesi inawezekana ikatokea kweli ama isitokee, lakini Kama ni kweli basi kuna wahuni wanaendelea kupiga 10% kwa...
Nafikiri lilikuwa pendekezo la kocha Robertinho, kwa maana napata shida kuwalaumu viongozi wa simba kwakuwa sidhani kama walishamuona popote, isipokuwa wanatakiwa walaumiwe kwa kuruhusu scout kuingiliwa majukumu yake, suala la vigezo vya uyo kipa kutokidhi na bado uongozi ukaruhusu asaini...
Viongozi wa ovyo wako kule kwa mhindi wa Bombay, Viongozi bora wanatwaa makombe na kujaza kwenye makabati, ebu tuambie ubora wa viongozi wako kwenye usajli ni upi? Ambao awalindi mikataba ya wachezaji kama unavyoropoka wametwaa kila aina ya kikombe na wengine wametwaa vikombe vya kahawa ivyo...
Mkuu usipoteze muda wako bure kuwaelezea vijana wa mangungu jambo linaloeleweka kwa kila mtu mwenye akili timamu, iyo ajenda ya kwamba mayele anamilikiwa na sijui nani wameiset wao wazee wa kuongeza sifuri, inaonekana kuna jambo linawasumbua vichwani mwao juu ya mauzo ya mayele
Kama ambavyo atuijui issue ya chama kama ulivyonena basi na wewe bora ukae kimya juu ya issue ya feisal maana akuna unachokijua zaidi ya habari za udaku
Nyie simbwa mangapi yanafanyika na mko kimya, Taasisi sio vikundi vya umbea umbea kupuyanga kila kitu na ndio maana sakata lenu na chama viongozi wako walifunika kombe, hivyo usitake kujifanya unawafundisha watu kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.