Ndugu zangu watanzania, hii ni mwanzo wa athari za kukaribisha marekani na maisraeli mchini mwetu.
Kazi yao kututawanya na kutugombanisha na majirani zetu. Viongozi watatuingiza vitani na wao watakuwa pahali pa salama.
Umewahi kuona viongozi wamepeleka ndugu au watoto wake vitani ? Kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.