Recent content by Mtanzania

  1. M

    Wakili Marijani: Mnyika ameupotosha Umma, shauri la mgawanyo wa mali wa CHADEMA

    Huyu Wakili ni tapeli kabisa. Mbona leo hamtaji Makamu Mwenyekiti kama alivyosema mwanzoni? Shughulikia za wana Chadema huko mikoani zina uhusiano gani na hiki anakiongea leo? Je wanawake wa Chadema kusherehekea siku ya wanawake duniani kuna uhusiano gani na zuio lake? Hawa ndio Matapeli ndani...
  2. M

    Mwaka 2026 JF Inatimiza Miaka 20! Tuwakumbuke Wana JF wa Zamani, Tuwaenzi, Tuwarudishe, na Wale ma GT wa Enzi Zile Waurejeshe Moto Kama Ule au ..?

    Pole Pascal kwa yaliyokukuta. Ila ume handle vizuri sana issue yako. Wao ndio wameonekana watu wa hovyo sana.
  3. M

    Hoja za Heche zimejaa harufu ya usaliti. Haya yafanyike kabla ya kufanyika maridhiano yoyote yale

    Nenda YouTube utapata kwa urahisi kabisa alichoongea Heche. Ogopa hata Mungu, uongo hauna faida yoyote hapa duniani.
  4. M

    Hoja za Heche zimejaa harufu ya usaliti. Haya yafanyike kabla ya kufanyika maridhiano yoyote yale

    Hii ni fake news. Heche hajaongea hivyo. Mnapata faida gani kuleta habari za uongo? Mnafikiri Watanzania ni wajinga sana na wataamini tu maandiko yenu?
  5. M

    Mwaka 2026 JF Inatimiza Miaka 20! Tuwakumbuke Wana JF wa Zamani, Tuwaenzi, Tuwarudishe, na Wale ma GT wa Enzi Zile Waurejeshe Moto Kama Ule au ..?

    Wana JF, Baada ya miaka mingi sana Nimeona niwasalimie kidogo. Tumetoka mbali Kuanzia kule Business Times, Jambo Forums mpaka sasa JamiiForums. Ni furaha kuona hiki chombo kinaendelea Salama chini ya mikono ya mdogo wetu Maxence. Pole sana kwa ndugu zetu wengi sana ambao wametangulia mbele ya...
  6. M

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Mtu wa IT, nilikuwa na mbinu ya kuipata na nimeweza kuipata japo nilikuwa sijaitumia muda mrefu.
  7. M

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Hakuwa William jamani. Ile ze Utamu ilikuwa inaendeshwa toka London tena na mtoto wa Kigogo mmoja (Spika wa zamani).
  8. M

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Baada ya mikasa ya Jamboforums na kusababisha kuanzishwa kwa Jamiiforums baadhi ya wanachama hasa waliokuwa wanaishi Ulaya na USA walijitolea kuhakikisha Jamiiforums inaendelea. Kumbuka miaka hiyo kulipia huduma za mitandao ilikuwa kazi nzuri na TZ hakukuwa na credit cards za kuwezesha malipo...
  9. M

    Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa Watu

    Mkuu Balantanda upo? RIP kwa ndugu yetu William Malecela. Nilipotea JF kwa muda mrefu ila kwa heshima ya William Malecela leo nimerejea. Poleni sana wote.
  10. M

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Wakuu, Duh! Miaka mingi sana. Poleni sana kwa kuondokewa na ndugu yetu William Malecela. Ni miaka mingi sana sijaingia JF kwa kutumia jina hili. Ila kwa heshima ya Field Marshal ES leo nimeamua kuingia kama Mtanzania na kutoa rambirambi zangu kwa William ambaye nilikuwa karibu naye sana miaka...
  11. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Kama unasomea kwenye simu ngumu. Ila nilikuwa namwandikia PMkama ambaye najua ana uwezo wa kusoma PDF file. Kilichoandikwa ni kwamba barabara ya Wazo Hill to Bagamoyo ya km 45 ilijengwa kuanzia mwaka 2000 mpaka 2003. Ukweli ndio huo, kama unataka kubishana bishana. Angalia na hilo file hapo...
  12. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Mkuu PMkama, Huenda serikali ilikurupuka kutoa tamko na kusema aliyevunja ni Kawambwa. Baada ya muda wameona wamechemka, sasa wamekanusha kwamba hiyo taarifa sio ya kwao. Ukweli ni kwamba mkataba huu ulivunjwa wakati wa rais Mkapa. Hii serikali ilitakiwa ikae kimya hata siku nzima wakitafuta...
  13. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Pmkama, Salama lakini? Kwa taarifa tu kama umeshindwa kufuatilia taarifa zote. Huyu Mkandarasi alikuwa anajenga barabara ya Wazo Hill kuanzia mwaka 2000 mpaka 2003. Inasemekana ni katika kipindi hicho hicho mkataba wake ulivunjwa. Kwahiyo hiyo kazi walipewa wakati wa rais Mkapa na kunyang'anywa...
  14. M

    Waliokuwa Viongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Wafikishwa mahakamani

    Mnataja tu majina ya watu, kwani lini Rama alikuwa mwajiriwa wa NIDA? Kama yeye alifanya kazi za kitaalam kama Consultant, hawezi kuhusika na hayo maamuzi ya watendaji.
Back
Top Bottom