Recent content by Mtanzania

  1. M

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Mtu wa IT, nilikuwa na mbinu ya kuipata na nimeweza kuipata japo nilikuwa sijaitumia muda mrefu.
  2. M

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Hakuwa William jamani. Ile ze Utamu ilikuwa inaendeshwa toka London tena na mtoto wa Kigogo mmoja (Spika wa zamani).
  3. M

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Baada ya mikasa ya Jamboforums na kusababisha kuanzishwa kwa Jamiiforums baadhi ya wanachama hasa waliokuwa wanaishi Ulaya na USA walijitolea kuhakikisha Jamiiforums inaendelea. Kumbuka miaka hiyo kulipia huduma za mitandao ilikuwa kazi nzuri na TZ hakukuwa na credit cards za kuwezesha malipo...
  4. M

    Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa Watu

    Mkuu Balantanda upo? RIP kwa ndugu yetu William Malecela. Nilipotea JF kwa muda mrefu ila kwa heshima ya William Malecela leo nimerejea. Poleni sana wote.
  5. M

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Wakuu, Duh! Miaka mingi sana. Poleni sana kwa kuondokewa na ndugu yetu William Malecela. Ni miaka mingi sana sijaingia JF kwa kutumia jina hili. Ila kwa heshima ya Field Marshal ES leo nimeamua kuingia kama Mtanzania na kutoa rambirambi zangu kwa William ambaye nilikuwa karibu naye sana miaka...
  6. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Kama unasomea kwenye simu ngumu. Ila nilikuwa namwandikia PMkama ambaye najua ana uwezo wa kusoma PDF file. Kilichoandikwa ni kwamba barabara ya Wazo Hill to Bagamoyo ya km 45 ilijengwa kuanzia mwaka 2000 mpaka 2003. Ukweli ndio huo, kama unataka kubishana bishana. Angalia na hilo file hapo...
  7. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Mkuu PMkama, Huenda serikali ilikurupuka kutoa tamko na kusema aliyevunja ni Kawambwa. Baada ya muda wameona wamechemka, sasa wamekanusha kwamba hiyo taarifa sio ya kwao. Ukweli ni kwamba mkataba huu ulivunjwa wakati wa rais Mkapa. Hii serikali ilitakiwa ikae kimya hata siku nzima wakitafuta...
  8. M

    Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Pmkama, Salama lakini? Kwa taarifa tu kama umeshindwa kufuatilia taarifa zote. Huyu Mkandarasi alikuwa anajenga barabara ya Wazo Hill kuanzia mwaka 2000 mpaka 2003. Inasemekana ni katika kipindi hicho hicho mkataba wake ulivunjwa. Kwahiyo hiyo kazi walipewa wakati wa rais Mkapa na kunyang'anywa...
  9. M

    Waliokuwa Viongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Wafikishwa mahakamani

    Mnataja tu majina ya watu, kwani lini Rama alikuwa mwajiriwa wa NIDA? Kama yeye alifanya kazi za kitaalam kama Consultant, hawezi kuhusika na hayo maamuzi ya watendaji.
  10. M

    Waziri Mbarawa atoa mwezi mmoja Data Centre ianze kufanya kazi

    Suala la data security walipe uzito mkubwa sana. Vinginevyo hackers watakuja kufanya ya kwao.
  11. M

    Professor Mtanzania kaajiriwa kama dereva Ubalozi wa Kenya Marekani

    Mobilizing African Farmers | IIP Digital
  12. M

    Professor Mtanzania kaajiriwa kama dereva Ubalozi wa Kenya Marekani

    Huwezi kupata uprofesa kwa kusoma darasani. Unapata kwa kufundisha na kufanya utafiti. Sasa utafanyaje hayo kama huna kazi? Tena field yenyewe telecom engineering . Labda kastaafu na hiyo ni part time tu.
  13. M

    Kodi ya Asilimia 10: Kwa kila Tshs 1,000 ya kwenye Miamala, tshs 280 ni za TRA kuanzia Julai mosi

    Mkuu MkamaP, Maelezo yako ni sahihi. Ila conclusion naona sio sahihi. Mfanyabiashara yeyote anapanga faida kwenye biashara yake, anajumlisha na gharama au matumizi ndio anapata bei ya bidhaa. Kwenye hili, hii kodi na VAT vitahamishiwa kwa mtumiaji. Kwahiyo kama ulikuwa unalipa elfu moja kutuma...
  14. M

    Uchambuzi: Je, kwa punguzo hili la PAYE, nitanufaika kiasi gani?

    Mkuu Malisa, Mahesabu yako yana walakini kidogo. Tangazo la rais jana limeongeza pato la mfanyakazi kwa shilingi sifuri mpaka 3,800 kwa mwezi. Kama mfanyakazi ana mshahara wa zaidi ya 360,000 basi atapata ongezeko la pato la sh. 3,800. Kama mfanyakazi ana mshahara chini ya hapo basi ongezeko...
  15. M

    Utajiri wa Dr. Dau unashtua

    Mkuu, Newcastle football club haina shareholders kwasababu inamilikiwa asilimia 100 na Ashley. UK kuna sharia, ukifanikiwa kununua asilimia 77 ya shares, unaruhusiwa kuiondoa kampuni kwenye stock exchange. Ukifanikiwa kununua shares asilimia 90 una uwezo wa kuwalazimisha asilimia 10 iliyobaki...
Back
Top Bottom