Mnaona wana jamvi, Na team ya JamiiForum hebu angalieni hili swala la huyu bwana Toka 2010 amekuwa akiwapiga za uso baadhi ya Tanzania kwa kuwapiga na uhuni wa utaperi wa uwekezaji hali anaacha familia nyingi za Kitanzania zikiumia na hakuna mtu wa kufichua hili swala.
Jamiiforum kimnya
TBS...
Kama tigo, tumejitaidi kuboresha na kuimarisha mifumo yetu ya data base hivyo sio katika kusema Tigo inahusika na mfumo huu bali inatokea uwepo wa uzembe wa mtoa huduma kutozingatia sheria za kifedha na Electronic tunazo zitoa kila siku kuwa makini na utoaji huduma za kifedha.
UGONJWA WA HOMA YA INI
Huu ugonjwa wa homa ya ini now unazidi kuongezeka na kwa taalifa ni kwamba ukiupata sio rahisi kujua kama unao huu ugonjwa.
Maambukizi yake ni simple sana, yani mtu wa homa ya ini akigusana na wewe lile jasho lake pekee unakuwa tayari usha upata tayari.
Unaweza kuishi...
Huyu anaitwa Francves ndio jina lake halisi ni kuruta mstafu wa jeshi.....mwaka 2006 alikutwa na High Blood Pressure.
So, nini maana ya presha ya juu ya damu acheni ujinga nafundisha masomo afu kushare haaa ! Ila kila siku doctor achia masomo...
Presha ya juu ya damu hii ni mwnendo wa juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.