Poleni na kazi wakuu,
Mimi kijana nahitaji bajaji ya hesabu au mkataba, kwa yeyote ambae yuko tayari kufanya biashara ya bajaji mimi niko tayari. Nipo dar
Hesabu wiki 100,000/=
Mkataba wiki 140,000/=
MAWASILIANO 0617562823
hamna mkuu nimetoa hesabu sahii kulingana na mzunhuko wa kibiashara wa eneo husika unaweza nipangia hesabu yako na nisitimize makubaliano mwisho wa siku ukaniona sio mfanyaji kazi nakuletea usumbufu.
ndio mana nataka mtu ambae anayo mkuu tanga gari nyingi unazo ziona ni za undugu na urafiki na hata ukipewa ujue mda wowote utapokonywa akija mtoto wa shangazi.....kikubwa nahitaji mtu serious ambae nitakuwa huru kufanya kazi mda wote.
Habari wanazengo,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ni dereva,ombi langu kwenu nahitaji gari aina ya hiace ya hesabu iwe kwa mwezi au wiki na itatumika tanga mjini kama daladala hesabu yake kwa siku ni 35,000.
kwa mtu aliye tayari na yuko tayari kwa biashara hii tunaweza...
ni kweli ndugu wengi hushindwa na
ni kweli ndugu wengi wanachukua kitu bila kwanza kupanga mikakati thabiti ya kuweza kurudisha pesa wanacho angalia ni biashara ya mda mfupi ya nyakati hizo,ila kwa mimi mpaka nimeomba gari ni kwamba nishajua nini naenda kufanya na kazi zangu sio za kuchosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.