Bora umewaambia ukweli kabisa wajue hawawezi kushindana na lile jembe. Kumshinda kileo mwanga ni ndoto isiyooteka. Wakamuulize baba yao maghembe kileo ni nani atawaambia habari zake.
Wanabodi: imezuka hali ya taharuki kati ya mkurugenzi wa wilaya ya Mwanga na wanakijiji wa kijiji cha Lwami.
Ugomvi huu umesababishwa na halimashauri kwenda kumwaga taka kwenye kijiji hicho na kugeuza kijiji hicho kuwa Dampo la uchafu. Hali hiyo imempelekea mkurugenzi kwenda eneo la tukio na...
Kumbe ndiyo maana maghembe anazunguka huku na yule mtia nia wenu anajiita Dr Ngoma?
Mwanga tutaongozwa na kamanda mmoja tu ambaye tunamjua wote... hawa wengine tulijua mapema wapo kwenye kazi maalum.
Huyo kinana anajisumbua anakuja kuchukua mzoga??
Wakuu muda huu kuna kikao kinaendelea hapa Mwanga baina ya mkuu wa mkoa na wenyeviti wote wa vitongoji na vijiji.
Mbunge wa Mwanga anayemaliza muda wake baada ya kuvurunda na yeye alikaribishwa kwenye kikao hicho.
Alipopewa nafasi ya kusalimia Bwana Maghembe alianza kuishambulia CHADEMA na...
CCM mwaka huu mtapigwa kila kona, mmekaa mkafikri anayeweza kuuzima moto uliyowashwa na Kileo Mwanga ni Kinana?? Sasa kinana ndiyo ataenda kujua mziki wa kileo ulivyomnene. Tena hapo anaenda kumchokoza patakuwa patamu sana Mwanga na mkae mkijua wapare wakigeuka wamegeuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.