Mimi ni mfanyabiashara wa mafuta ya nazi jumla na rejareja na pia najiusisha na uuzaji wa dagaa kutoka tanga
Kwa mawasiliano zaidi - 0672844844
0620655665
Kwa jina naitwa Francis maimu napatikana mkoani tanga,ni muzajii wa dagaa wabichi na wakavu wanaovuliwa kwenye bahari ya hindi
Tunauza kuanzi kilo hadi guni la kilo 100 kwa bei ya jumla ambayo ni shilingi 6500
Napatikana kwa mawasiliano no 0672844844
NIPE DILI
Labda ununue shamba boss kupanda mnazi adi uvune ni mwaka kwa izi mbegu zetu za sasa,mi ni mkazi wa tanga kwaiyo mafuta yangu natengenezea tanga ambapo najua maligafi ni raisi kupata kwa wakati na bei inapungua,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.