Naamini atafanya kitu kwenye elimu maana ni balaa! Nlimsikiliza kwenye kipindi cha dakk 45 na sam mahela kwakweli mama yupo vyema na tunaamini sasa degree itathaminika sio mtu alikua na ziro mnakutana wote mmevaa joho[emoji35][emoji35]
Mie naona mtoa post ndo anataka kukuza haya mambo na kuleta machafuko yakidini, barua hio haina hata muhuri kuwa na sahihi hapo mtu yeyote anaweza kuandika hebu acheni kukuza mambo yasiyo hata na tija kwa jamii siasa isitufanye tuingie kwenye migogororoo
Yaani mimi issue ya elimu tu!! Hata mtoto wamkulima alijisemea wazi tunamshukuru Edward kwakusimamia vyema shule za kata zikajengwaa haraka maana mkoa wangu wa iringa ulikua unaongoza kwakutoa mabeck tatu! Beee sasa hivii hawaji kufanya kazi ngoooo wote wanaenda shuleeee najua shule zakata...
Yaani wagombea wote hamuwaoni ila anaeonekana ni Lowassa peke yake??
Kweli mti wenye matunda ndo unatupiwa mawe! Maana kila kona Lowassa, ukienda ista lowassa, fb lowassa huki lowassa duuhh!! Watanzania kweli mnampenda!!
Eehhh!! Mungu sikia kilio.cha hawa watu wqnamtaka Lowassa awe rais wao...
Na bado nadhani hio fungakazi ya darsam mtazimia kabsa maana wadhamini tutakua zaidi ya mikoa yoteee , huyo lowassa anawatesa sanaa jamani maana kama kachukua fom pekee yake kila mtu lowassa, hata hao wagombea wengine Hija udkubwa ni lowassa
Hii katiba haitakiwi ipigiwe kura kipindi hiki cha uchaguzi yaani yatakiwa tusubiri uchaguzi uishe maana kwa sasa tutapata madudu sio katiba turekebishe tume ya uchaguzi mambo yaendeleee vinginevyo kazi ipoo udini utatumaliza
Namaanisha namsona sehemu anazosimamia jao bado kura ni siri na kila mtu anauelewa tofauti japo kuna vitu sivikubali ndani ya rasimu inayopendekezwa na pia hili swala la katiba sio swala la chama ni swala la nchi sasa hata kupiga kura hatupigi kichama tunapiga kwakuzingatia ni wapi nchi yetu...
Jabla hujatushawishi tuseme hapana ni vyema ukatupa udhaifu unaodhani twatakiwa tuukatae kuliko kutushawishi tuseme hapana kwakua wewe unasema hapana twambie sababu ambayo unadhani twatakiwa kusema hapana ichambue tushawishi kwa hoja na si kwakugeneralize kama ulivyofanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.