ukiwa upinzani nahisi hakili huwa zinapungua kidogo sababu hats jambo la msingi wao wanapinga tu,
wanashindwa kumpinga mbowe kwa kumuondoa slaa, nasasa chama kinakufa hivihivi. pole sana upinzani.
suala la kuwa na wagombea wawili au zaidi kutoka ukawa kwa ngazi ya ubunge na udiwani ni hatari sana kuzidi hata ripoti ya twaweza, kiufupi viongozi wanalijua ila wanashindwa kuchukua maamuzi, wakilenga kupata kura za urais tu bila kuangalia madhara kwa ubunge na udiwani. kuna methali inasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.