Kweli weeh zuzu Pharaoh amekaushwa mpk leo USA ilikuwepo?..mito bahari mvua jua punzi hivi vitu ni vya USA?
Ulivyo vitaja hata usipokua navyo unaishi na kuna watu hawakua navyo na waliishi
Sasa aliposema Yanga hawafanyi kazi unprofessional alimaanisha hajauzwa?
Nikupe mfano mmoja timu kuvunja mkataba wa mchezaji halafu usimlipe aende kukushitaki Fifa unafungiwa kwa mda mpk ulipe that professional..?..inshort mgogoro wake na Yanga ni kusema kwa nini Yanga hawajibu ofa za...
Kibaya ni kipi hapo?..alichozungumza inshort hapo lazima uelewe Mzize bado anafanya kazi na huyo Mama upande wa kisheria na maslahi yake binafsi bado huyo mama anamsimamia katika ajira yake iwe Yanga ama kwngneko...cha mwsh lazima uelewe Mzize ndo Boss
Mungu huyu huyu aliyemshushia Papa Francis waraka awabariki LGBT au huyu wa numero Nove ni mwngn..?
Msitusumbue sie kobazi tokea lini nyie mliweza kufunga..?hamuishi vibweka na matamko kila kukicha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.