Recent content by mswaki mbuyu

  1. mswaki mbuyu

    Kauli ya Trump yawashangaza wengi. Wengine watia shaka afya yake ya akili.

    Kweli weeh zuzu Pharaoh amekaushwa mpk leo USA ilikuwepo?..mito bahari mvua jua punzi hivi vitu ni vya USA? Ulivyo vitaja hata usipokua navyo unaishi na kuna watu hawakua navyo na waliishi
  2. mswaki mbuyu

    Wakala wa Mzize: Yanga wameamua kufanya kazi unprofessionally

    Sasa aliposema Yanga hawafanyi kazi unprofessional alimaanisha hajauzwa? Nikupe mfano mmoja timu kuvunja mkataba wa mchezaji halafu usimlipe aende kukushitaki Fifa unafungiwa kwa mda mpk ulipe that professional..?..inshort mgogoro wake na Yanga ni kusema kwa nini Yanga hawajibu ofa za...
  3. mswaki mbuyu

    Watanzania wanasubiri Polepole na Gwajima wawakomboe

    Nyie wagalatia siku 10 bado tuu za Gwajima hazijaisha?
  4. mswaki mbuyu

    Wakala wa Mzize: Yanga wameamua kufanya kazi unprofessionally

    Kibaya ni kipi hapo?..alichozungumza inshort hapo lazima uelewe Mzize bado anafanya kazi na huyo Mama upande wa kisheria na maslahi yake binafsi bado huyo mama anamsimamia katika ajira yake iwe Yanga ama kwngneko...cha mwsh lazima uelewe Mzize ndo Boss
  5. mswaki mbuyu

    Hatimae Jux ni Baba Rekeem

    Kisheria ya dini ya kiislam ilitakiwa afunge naye ndoa baada ya kujifungua
  6. mswaki mbuyu

    GE2025 Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!

    Si nimekwambia nyie wagalatia tokea lini mkaweza kufunga bhana toeni upuuzi wenu hapa... Sasa kufunga mana'ke nini..?watu tunataka haki kwny uchaguzi eti nyie mnaombea amani...ipi hiyo? ..nyie project tuu
  7. mswaki mbuyu

    GE2025 Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!

    Sie tunataka haki nyie mnaleta vibweka vyenu..mshakua project kama mlivyokua vibaraka enzi ya ukoloni
  8. mswaki mbuyu

    GE2025 Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!

    Mungu huyu huyu aliyemshushia Papa Francis waraka awabariki LGBT au huyu wa numero Nove ni mwngn..? Msitusumbue sie kobazi tokea lini nyie mliweza kufunga..?hamuishi vibweka na matamko kila kukicha
Back
Top Bottom