Habari
Nnashahada ya mioango na usimamizi wa mazingira na pia nimejitolea katika mashirika binafsi kwa miaka minne 4
Pia nnaujuzi wa vitu vifuatavyo
1.project planning and management
2.monitouring and evaluation
3.Proposal writing
4.data collection and analysis
5. Resoirce mobilozation...
Habari ndugu wadau nimeona ni shiriki katika mjadala huu nikiwa moja ya vijana tulio wengi mtaani ambao kimsingi tunapambana na changamoto ya ajira na ukosefu wa ajira za kutosha.
Mimi kama muhitimu wa chuo kikuu ambae badi nipo mtaani nilitamani kuina taasisi mbalimbali za kifedha zikitoa...
Jamani kwakweli minniwambie tu ukweli ni kua ikitokea nimeshinda hizo hela kutoka story of change zitanisaidia sana kujiajiri maana hapa nilipo sielewi kesho yangu ikoje ukiona nnafaa kushinda hizo pesa au kifaacha kielekroniki we nipigie kura itanisaidia sana kufanya nichange maisha yangu nanwa...
Habari ndugu wadau nimeona ni shiriki katika mjadala huu nikiwa moja ya vijana tulio wengi mtaani ambao kimsingi tunapambana na changamoto ya ajira na ukosefu wa ajira za kutosha.
Mimi kama muhitimu wa chuo kikuu ambae badi nipo mtaani nilitamani kuina taasisi mbalimbali za kifedha zikitoa...
Habari wanajukwaa leo nitazungumzia suala la Elimu ya juu na umasikini hasa kwa vijana.
Tunaelewa kua elimu ilipewa maana mbalimbali wwngine wakijaribu kusema kua elimu ni mwanga, Elimu ni ufunguo wa maisha na wengine wamefika mnali na kusema elimu ni kichocheo cha maendeleo.
Nimevutiwa...
Kilimo kama tunavyo fahamu ni moja ya sekta ambayo inagusa maisha ya zaidi ya asilimia 70%waishio mijini na vijijini nchini Tanzania. Na kama tunavyoelewa uchumi wa wakazi wengi waishio maeneo ya vijijini umejikita zaidi katika shughuli za kilimo moja kwa moja hivo linapo kuja suala la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.