Recent content by Msumbeni2015

  1. M

    Elimu ya Dini muarobaini wa mmomonyoko wa maadili na utovu wa nidhamu mashuleni na vyuoni

    Kutokana na kuporomoka kwa MAADILI na utovu wa nidhamu ulio kithiri mashuleni,vyuoni na jamii kwa ujumla ni wazi sasa serikali inalazimika kuliweka Somo la ELIMU YA DINI mashuleni na vyuoni kuwa ni LAZIMA kama njia ya kupambana na CHANGAMOTO hizi ELIMU YA DINI hili ni Somo ambalo litakuwa...
  2. M

    Naibu Waziri TAMISEMI, David Silinde aagiza vipindi vya Dini viwe vya lazima kwenye Shule kupunguza uovu

    Kwa sasa kumekuwa na mmomonyoko mkubwa sana wa MAADILI hapa NCHINI ikiwa ni pamoja na Matumizi mabaya ya mitandao Kama kuweka picha na video chafu mitandaoni, ukahaba, umalaya, Matumizi ya madawa ya kulevya,ukatili wa kijinsia, Matumizi mabaya ya madaraka,ubadhilifu, utakatishaji Fedha, uhujumu...
  3. M

    SoC01 Bima ya Afya kwa kila Mtanzania kwa njia ya tozo za muda wa maongezi

    Kwa kuwa Serikali ina mpango wa kutoa bima ya afya kwa kila Mtanzania nimepata wazo la namna bima hyo inavyoweza kufanyika kwa kutumia TOZO ZA MUDA WA MAONGEZI,kwa kuwa idadi kubwa ya watanzania wanamiliki LAINI za simu hivyo nashauri yafuatayo: 1. Serikali iweke tozo mpya katika muda wa...
Back
Top Bottom