Recent content by Mstarabu kiona

  1. Mstarabu kiona

    Utapeli wa Mapenzi

    {DADA /KAKA ZANGU KUWENI MAKINI NA WATU HAWA}. Nyakati zime badilika kila kukicha mapya yana zuka utapeli ime kuwa ni fasheni kwenye kila sehemu kiasi kwamba huwezi jua yupi mkweli NA yupi muongo anaye stahili NA asiye stahili. . Kama vile wezi hubuni mbinu mpya kuikwepa police basi matapeli WA...
  2. Mstarabu kiona

    TUNAWAONA WAZURI SABABU TUNAWAPENDA

    Kinachofanya wajione wao bora na wazurii ni Sisi wanaume tunapenda kuwasifu lakinii ukweli ni kwamba hawana uzuriii wowote ndo maana vitu vya urembo vimekuwa vingi kwao ili wapendeze waonekane wazurii. Ila Men tupo really bado tunapendeza na tunavutia
  3. Mstarabu kiona

    MAPENZI YA KUKUTANA MTANDAONI

    👤👤👤👤👤👤👤👤👤
  4. Mstarabu kiona

    MAPENZI YA KUKUTANA MTANDAONI

    Upo unasemaje Hso Hiyo ata mtu ukikutana nae mtaani anaweza kukufanyia lolote likakuumiza
  5. Mstarabu kiona

    MAPENZI YA KUKUTANA MTANDAONI

    Binadamu ni walele walioko mitandaoni na walioko majumbani au mtaani ni walele tu. Naona kuna wanaume au wanawake maneno yanawatoka kusema ety ""siowezii kuwa na mahusiano ya kimapenzii na mtu tuliekutana mtandaoni"". Huko ni kutokujiaminii maana ata wewe unaejifanya unazo Akili na kujitambua...
  6. Mstarabu kiona

    Nachelewa kukojoa

    Sinaga izo mambo
  7. Mstarabu kiona

    Nachelewa kukojoa

    Kweli humu kuna mambo PM ndo nini tena naisi utakuwa ni msemo mpya au una maana ni namba
  8. Mstarabu kiona

    Nachelewa kukojoa

    .
Back
Top Bottom