Recent content by Mstaarabu Tz

  1. Mstaarabu Tz

    Wakati unachagua mke wa kuoa mtazame pia mama yake

    Bas huo ushauri me hauniusu kwasabab cangalii umbo niktaka kuoa, nina wake wawili sasa na nategemea kuongeza watatu, nyumba nmepanga.
  2. Mstaarabu Tz

    Rafiki yangu ameingia kwenye mahusiano na mwanamke wangu. Moyo wangu unauma sijui nifanye nini?

    Kwanz uyo sio mwanamke wako futa io kauli, kama mwanamke ujamuoa ukigongewa utakiwi kulalamika.
  3. Mstaarabu Tz

    Nifanye nini nipate mafao yangu baada ya mwajiri kutonipa barua ya kusitisha ajira yangu?

    Habari zenu ndugu watanzania!!!! Naandika uzi huu kuomba ushauri ili mwanga wa nini cha kufanya ili niweze pata mafao ya kutokuwa na kazi NSSF. Kwanza kabisa mimi ni mkazi wa mkoa wa Mtwara wilaya ya Masasi, mwaka 2022 Septemba katika harakati za kusaka kazi, nlibahatika kupata kazi kwenye...
  4. Mstaarabu Tz

    Natafuta wana ambao ni Introverts

    😃😃😃😃 we ni intro??
  5. Mstaarabu Tz

    Natafuta wana ambao ni Introverts

    Unachochea umaskin kivip kaka
Back
Top Bottom