Mh. Kigwangallah, a.k.a Saidi Bagaile ambaye katumika sana na Mengi kumtukana Muhongo kwa kumwita 'profesa muongo' kwa kutarajia kupewa uwaziri, anajuta kuukosa. Radhi ya kumtelekeza baba yake mzazi inamtafuna. Kikwete kamtosa, hafai. Ajifunze kwa George Simbachawene, yeye anawajali wazazi wake...
=Kikwete hataki kukosolewa. Anataka sifa tu, basi. Salva Rweyemamu, Muhingo Rweyemamu, Premi Kibanga nk wengine waliifanya kazi hiyo ya kumpamba leo wanaula. Wameuza utu wao kabisa. Sasa hivi si waandishi tena, ni mbwa wa Kikwete. The East African na ----------- mafichua siri, yamefungiwa...
== Uwaziri utafaa nn? Mwezi wa kwanza aliyeteuliwa atafanya lipi Watanzania waone mchango wake? Mbona Mwakyembe katolewa uchukuzi, hakufanya vizuri? Mary Nagu, waziri miaka yote hii toka wakati wa Nkapa baba; kwa nn? Naye Tyson, vp?
==Ni waislamu wasiojielewa tu ndio huipigia kura CCM. Mimi, binafsi sijawahi kuipigia kura ccm kwa muda mrefu sana. Nasikia Kikwete aliwaita Ikulu masheikh wa Bakwata na wengine kama Sheikh Ally Basalehe, Sheikh Musa Kundecha na kuwapa mamilioni ya pesa wamchague. Ndiyo maana akaambulia kidogo...
==UNAJIFUNZA NINI KWENYE SAKATA HILI? Mtoto kumnyanyasa baba yake? Mimi sijaona wala kusikia tu. Liko kwa Saidi tu anayejiita dk.kigwangalla!
Asiyefunzwa na mama, hufunzwa na ulimwengu.
Nimesema jina la Hamisi Andrea ni feki. Hawalifahamu nyumbani kwao. Wanamfahamu kwa Saidi Nassor, ila Kigwangalla sawa, hilo maarufu. Mbunge, miaka minne sasa baba yake na mama yake wanataabika kweli? Baba yake mzazi mzee Nassor Kigwangallah ninaye mfahamu, hana hata mkweche tu wa kutembelea...
Hivi karibuni tu, nikiwa Tabora mjini kwa mihangaiko yangu ya maisha, nilibahatika kukutana na ndugu mmoja wa Dk. Kigwangalla kutoka Kigwa. Alisikitika sana na kuonesha mshangao nilipomtajia habari za mbunge wa Nzega Dk. Hamisi A. Kigwangalla. Akasema kwanza jina hilo halijui. Kwani Jina lake...
Je, ni kweli dk kigwangalla ni shujaa anayestahiki kukabidhiwa madaraka? Iwapo ubunge tu umemzuzua, hamjali mtu yoyote; anajivuna na kuwaona watu kama watwana wake. Amefikia hadi kutowajali hata wazazi wake; hawahudumii kwa lolote, kawatelekeza. Mtu kama huyo anafaa kupewa uongozi? Tafakari kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.