hii inaonyesha nchi hii inawenyewe kwani jambo hili alimwiingi kichwana mzalendo yeyote,huyu hapa pana siri kubwa na ndoo maana huyu bwana hakuwa na wasiwasi ,je watanzania wenzangu tutakuwa mbumbu mpaka lini? sasa ni wakati umefika wa kuchukua maamuzi magumu ili tuweze kujenga nchi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.