Recent content by mslndbo

  1. M

    JPM, usidhani uchaguzi wa 2020 utakuwa sawa na ule wa 2015.

    Hii inawezekana kutokea hili jambo linaweza kubadilika ghafula kikooteo kina udhi balaa, sheria ya vyama vua siasa. Sasa hivi kama hawapo vile kama ameua wote lkn wayafufuka tu.
  2. M

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    Inaudhi kusikia mtu kanyinwa haki kumbe hata "a" hajui, kusema amesahauliwa kumbe tukio lilikuwa kwa jirani yake. Tuwaache na maneno yenu ya kudai hata msichostahili. Hata mkipewa, dhambi hii hamuiachi itawala mpk mwisho mtabaguana koo na koo, mpk shehe na shehe mwenzake. Hata wenyewe kwa...
  3. M

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    Mnaochochea na kutafuta chokochoko zisizo na faida za udini ni mashetani wazi mmejiandaa kunywa damu za Watanzania wasio na hatia. Huwezi kuwa muuguzi kama haukufunzwa kutibu hauwezi kuwa mwalimu kama haujaenda shule tabia zenu za kukimbia shule ndy maana hata huyo mchochezi amekalia hayo tu...
  4. M

    Picha na matukio mbalimbali; Kumbukumbu ya mauaji ya makusudi

    Ukizaliwa kwenye neema hata ya kuiba haki za wengine huwezi kujua msiba wa mtwana. Mwenye akili wewe uliyesoma wewe unayejua kuongoza wewe wengine hawafai usidhanie watoto wako watanufaika na porojo unazofaidi leo. Cdm ni maisha ya vizazi vyetu na ndiyo nchi yetu ardhi yetu madini yetu kwa watz...
  5. M

    M4C Yaanza kwa Mdororo mkubwa 2013

    Kizazi cha Nyerere na Wazee wetu kilikuwa na uzalendo kilijali utu, sisi tutasfiwa kwalipi anayetetea chama tawala wakushangaa haiji akilini kabisa kwa kutetea uozo uliopo katika ngazi zote za serikali inayoongozwa na chama hiki. Tumieni busara hata ya makalio kujua kuwa tunahitaji watu wenye...
  6. M

    Mtoto wa miaka 16 Mwenye watoto watatu

    Mbona huyu anamaisha mazuri tu afya safi. Kama nitatizo basi limeanzia kwa Wazazi au Walezi, hakuna shule, hakuna mahitaji ya msingi... Wenye kujaza mahitaji ndiyo ujira wao lkn huyu anaonekana ana Mr. wake ndiyo maisha ya vijiji vyetu Cha kushangaza mijini wapo walioanza kupata ujauzito kabla...
Back
Top Bottom