Recent content by msingwa

  1. msingwa

    Wananchi wa Muheza wawachangia CHADEMA ili watangaze kujiandikisha

    Wanajamvi, Ama kweli likupigalo ndiyo likufunzalo. Jana wananchi wa Muheza walimuita mtia nia mmoja wa CHADEMA, Mwl Ernest Msingwa wakamueleza mikakati yao kuwa safari hii wamechanga pesa ili mtia nia atoe gari yake ifungwe vipaza sauti na kuhamasisha watu wakajiandikishe na zoezi hilo...
  2. msingwa

    NEC yapiga marufuku CHADEMA Kuhamasisha Uandikishaji

    Huo ni mwanzo safari lazima wakae tu, Tume hawawezi kuwasaidia hata kidogo wenye nchi tumeamua kuwapumzisha,
  3. msingwa

    Dr. Slaa afunika mkutano wa hamasa wa kujiandikisha BVR, Momba -Mbeya

    huu sio muda wakuishi kwa matumaini kutamanishwa vitu ambavyo hatuwezi kuvipata tunataka kusikia vitu vya uhakika ambavyo vinatekelezeka kama alivyokuwa akitueleza Rais Dr Slaa
  4. msingwa

    Huu uzembe wa upinzani katika siasa za Tanzania hadi lini?

    kaka no research no right speak CHADEMA Walifanya chadema ni msingi wakiwa wanamaanisha chama kufika hadi ngaz ya kitongoji na mimi ni mwenyeji wa wilaya ya muheza Tanga tuliweza kufanya hivyo na chama kipo hadi katika vitongoji
  5. msingwa

    CHADEMA waandaa vurugu mkutano wa ACT-Wazalendo leo Singida

    ACT ni chama cha msimu na ukitaka kuamini hilo ngoja october ipite kama utakisikia tena na CHADEMA hatuwezi kushindana nao, mtoto wa plastic haoti moto
  6. msingwa

    CHADEMA Imeshapoteza Majimbo ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015

    mimi nadhqni unafikiria kwa kutumia tumbo maana hakuna kipindi ambacho chadema iko vizuri kama kipindi hiki nakihakikisha hilo ni matokeo ya uchaguzi wa serikali ya mtaa
  7. msingwa

    Tuache ushabiki wa vyama: Nani bora kwetu, kati ya Lema na Monaban - Arusha Mjini

    sasa unafananisha Lema ambaye ni mbunge na mwanasiasa unamfananisha na mfanyabiashara ambaye hajawahi hata siku moja kufanya shughuli za siasa
  8. msingwa

    Countdown ya Meli ya Bukoba - Mwanza kuwasili Ziwa Victoria kutimiza ahadi ya J. Kikwete

    sisi Muheza tunasubiri kiwanda cha matunda na mradi mkubwa wa maji kutoka mto ziggi
  9. msingwa

    Ukawa: Chama kipi kina nguvu jimboni kwako?

    Chadema - muheza
  10. msingwa

    UKAWA Kufanya Press Conference Kesho (Aprili 30, 2015) Makao Makuu ya CUF

    hapo ndiyo waelewe kuwa ukawa wakusudia kwenda magogoni iwe kwa jua au mvua
  11. msingwa

    Wazee wa kibondei Muheza wawaomba CHADEMA iwaokoe na janga la maji

    Wakuu sitachoka kuwapa yanayojiri Muheza kila kukicha, jana wabondei wa kata ya Mkuzi ambako kiuhalisia kuna wale wabondei haswa yaani kindakindaki jana waliwaita viongozi wa CHADEMA wa wilaya ya Muheza na kuwaomba wawasaidie kuondoa janga la maji ambalo kwao imekuwa kero kuu. Kiongozi mmoja...
  12. msingwa

    NCCR-Mageuzi yadaiwa kuwasilisha hoja ya kujitoa UKAWA; CUF watoa masharti magumu!

    hivi ulitegemea Mtanzania waliandikie mema ukawa?Mtanzania mi la Bashe na Bashe ni wa Rostam na Rostam ni wa Zitto wa ACT Wazalendo na ACT ni branch ya CCM unategemea nini litokee?
  13. msingwa

    Mjumbe wa kijiji Muheza kupitia CDM aibua ufisadi

    Wakuu nimeamini kuwa akiingia hata mjumbe mmoja kwenye serekali ya kijiji anatosha kabisa kuwanyoosha maccm, mjumbe waserikali ya kijiji cha Tanganyika kata ya Tanganyika wilaya ya Muheza kupitia CHADEMA bwana Michae Mhina Mguhi ameweza kuibua ufisadi uliofanywa na mwenyekiti pamoja na mtendaji...
  14. msingwa

    ACT - Wazalendo waambulia watu watano kwenye mkutano Muheza

    mimi sina haja yakukudanganya na kama mkipenda niwatajie watu waliokuwepo kwa majina
  15. msingwa

    ACT - Wazalendo waambulia watu watano kwenye mkutano Muheza

    mimi haja ya kukufanganya ila niliwauliza kuwa mkipenda niwatajie watu waliokuwepo kwa majina
Back
Top Bottom