Sahivi tuu sijamaliza ata mwaka wa kwanza nalipwaa million1.6 na hospitali ya KCMC wanataka gamba langu na GPA ya 4.7 ndo wanahiitajii.
Kazi kwangu kupiga shulee.
Soma kichwa cha uzi mkuu.
unauliza naakati majibu tumeshayatoa.
lab analipwa laki9
pharmacy analipwa zaid ya million4 permonth. Na mshahara juu..
au kunakingne uliitaji kujua.
Asantee kakaa ndo maana nasema jamaa darasa la sabaa ajui aliongealo.
Hapo bado mshahara wa serikali 1.25 millions.
pia hospitalini pia za private hawawez fungua hospital bila chet cha mfamasia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.