Dr. slaa hana sifa za kuwa Rais wa Tz,
Lema hata kuwa mbunge tu wa Arusha mjini ni fedheha, hana sifa zozote za uongozi! Hajui kusolve migogoro zaidi ya kupigana! yeye huitafsiri nguvu ya hoja kama nguvu ya kurushiana ngumi!
Anafaa kuwa monita wa form one! au kiongozi wa wavuta bangi!
mi nilishangaa sana kusikia chopa 3 zinachanja mawingu, nikatafakari dhumuni la kazi yenyewe ni kuhusu katiba mpya, nikajiuliza hii pesa imetoka wapi wakati pesa ya kuita baraza kuu tu imekosekana!
Kumbe walichukua kwa mzee wa Monduli ili wammalize jamaa wa leka dutigite! ili asiendeleze ukwas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.