Recent content by Mshindi wa Vita

  1. Mshindi wa Vita

    David Kafulila: Hatujengi reli ili kupambana na Barabara kibiashara bali zishirikiane kutatua changamoto za Usafiri na Usafirishaji wa Watanzania

    Mkurugenzi wa PPPC Bwana David Kafulila amekanusha madai kwamba ujenzi wa mtandao wa reli nchini utazifanya barabara kukosa kazi za kusafirisha mizigo. Akizungumza kwenye kipindi cha DK 45 kinachorushwa na ITV, Kafulila alieleza kuwa hata mataifa makubwa kama Marekani, licha ya kuwa na...
  2. Mshindi wa Vita

    LIVE: David Kafulila anaongea na wadau wa Usafiri na Usafirishaji wa Bandari

    https://www.youtube.com/live/0oisjyeeiTk?si=ZyTQ-O1IFxIhOKkd MDAHALO KUHUSU UENDESHAJI ENDELEVU WA BANDARI UNAENDELEA PEACOCK HOTEL Baraza la Wasafirishaji Tanzania (Tanzania Shippers’ Council – TSC) leo linaendesha mdahalo wa ngazi ya juu wa Sekta ya Umma na Binafsi (Public–Private Dialogue)...
Back
Top Bottom