Kupitia hili sakata nazani ni wakati sahihi kwa mzee wetu, Mzee Mwinyi aje kufuta hadharani kauli yake ya Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu maana Mabingwa wa Nchi Yanga wameonesha kujitambua na kuondokana na uzwa wa TFF
Simba na TFF wamepelekwa shule ya Vitendo na Yanga imara maana tukiwambia tff na simba waache figisu walikuwa hawaelew sasa wameanza kuelewa somo kwa vitendo
Manara ameenda shule gani mtu anataka kesi zinazo takiwa zishughulikiwe na Tff, Caf na Fifa yeye anataka zishughulikiwe na Bunge harafu unatamba eti simba ina viongozi Wasomi kama Manara basi hiyo inatoa taswira ya uelewa wa wana simba kwenye mpira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.