Recent content by MshauriHabari

  1. M

    Wakala wa Ibrahimovic amalizana na Man United

    Baada ya mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic kuweka wazi kuwa ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kukamilika na kuhusishwa a baadhi ya vilabu ikiwepo Manchester United, Arsenal na Chelsea, zimetoka taarifa kuwa Man United wao hawajatuma ofa kumtaka mchezaji huyo. Akizungumza na Sky...
  2. M

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Mimi nimefatilia kdogo nimeelewa kuwa kuna sukari ilikuwa kiwandani ndiyo ilikuwa ya vinywaji alafu kuna nyingine ilikuwa bandar kavu na hiyo ya bandar kavu ndiyo ya kwenda Uganda then Sudan
  3. M

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Kila mtu na uelewa wake, mm nilivyosikia nikuwa kuna sukar ilikuwa kiwandan ya vinywaji alf Makonda alivyoenda bandar kavu ndiyo akakuta sukar ya kwenda Uganda-Sudan
  4. M

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Kwa taarifa niliyosikia mimi inapelekwa Sudan, Uganda inapita tu
  5. M

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Hilo ndiyo tatizo ndugu
  6. M

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Umenifurahisha kweli... Kuna sukari ya kiwandani na sukari ya mtaani tutafute mtu wa sukari atuelezee vzr hii ila ninavyojua haiwez tumika nyumbani
Back
Top Bottom