Zichungeni shilingi,bajeti inazotoa,
Matapeli wako wengi, wanazifuatilia,
Msibumbwawe kwa wingi,tumboni zitaishia,
Na kitakachobakia, uchaguzi wanukia!
Twabeba nizigo mingi, hakuna wa kutuhurumia,
Anzia na mashangingi,mitaani yakizagaa,
Hayaingizi shilingi, bali zinaangamia,
Na...