Nimesubiri sana na sikukata tamaaa hatimaye malengo yametimia na ajira nimepata sehemu nzuri itakayonijenga sio kazi mradi kazi muuangalie na kazi zitakazowafikisha mbali. Thanks God for everything
Haya kwa wale fresh masters graduates inawahusu hii. Experience less than one year hawataki experience hawa uwezo wako tuu. Na kama una experience hata usijisumbue ku apply. They are looking for young future managers.
I'm 26 years of age ila kisiwe kikwazo coz umbo langu ni zuri na la kiutu uzima. Sijisifii ila navutia kweli kweli huwa naambiwa hivyo. Nataka mwanamke wa kudate nae tu i dont want a serious thing. If u are interested ny email is mshaija8792@gmail.con
Oi kama kuna watu walipiga interview mwishoni wa mwezi wa tatu morogoro nafasi ya graduate trainee Tanzania Leaf Tobacco Company, vp jamaa wameita. Mi nilipiga ya written..mwenye info adodondoke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.