Recent content by msemakweli 1

  1. M

    UKAWA kuunda chama kipya kiitwacho NCC

    Kama ni kweli hili litkuwa pigo kwao hatuwezi anzisha chama na kuingia ikulu.Huu ndiyo ukweli na vingine ni ndoto.
  2. M

    Kwa maamuzi ya Jk aliyoyatoa leo Mwaanasheria Mkuu wa Serikali Hukupaswa Kujiuzulu.

    ESCROW inawezekanani mpango mzima kutoka kwa mkulu.
  3. M

    Umesoma, bado unaitetea CCM, ni kweli kabisa umesoma lakini hujaelimika

    hizi ndizo akili zako, tukisema mnatumia makalio kuwaza mnabisha, huyu aliyeleta mada ameteka ufahamu wako na wewe bila kujua unachangia upuuzi, wakati mwingine bora ukae kimya ili tusikulinganishe na wapumbavu.
  4. M

    Sakata la ESCROW: IPTL na PAP Watinga Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria wa Maazimio ya Bunge

    We punguani watu tumesha acha kuangalia TBC1 hilo ni danguro la ccm, hawawezi ikosoa ccm jambo ambalo ni baya sana. Pili, mahakama za Tanzania hazina uwezo kisheria kutoa maamuzi juu ya sakata la ESCROW kwasababu mkataba ulifungwa chini ya mahakama ya kimataifa ya biashara, na hawa ndiyo...
  5. M

    Monduli: Uhuni wa Lowassa huu hapa

    hawezi kuwa raisi, huyu ni mtu hovyo sana.
  6. M

    CCM 'yapoteza' viti 2,600 Serikali za Mitaa

    ni kama ccm imepata 74.55% ikiwa imeporomoka kwa 18.15% na upinzani ukipaa kwa kupata 25.45% hii ni pamoja na mapingamizi ya ccm, sasa ukitoa mapingamizi ndiyo ccm inapitwa kabisa, huyu mwanadiwani ni vuvuzela huwa hajui kitu ni kushabikia ccm bila kutafakari,ccm mmeporomoka hautaki wewe mbishi.
  7. M

    Freeman Mbowe ameliweka rehani jimbo lake la uchaguzi la Hai-Kilimanjaro

    Wewe hauna lolote,bora Nape, Kinana na Mwigulu ambao wameishutumu ccm ngazi ya juu waziwazi kuliko wewe bendera fuata upepo. Wewe kila kitu unaisifu ccm na kuponda upinzani hata kama wamefanya vema, ebu fikiri mwaka 2009 mlipata 92% ccm,leo hamjaipata na mitaa na vijiji kibao mmepokonywa bado...
  8. M

    Freeman Mbowe ameliweka rehani jimbo lake la uchaguzi la Hai-Kilimanjaro

    Msemakweli ni mpenzi wa Mungu; wewe mwanadiwani kubali kuwa mwaka huu UKAWA wamewabana, sasa kama mwaka 2009 mlikuwa na 92% leo pamoja na kuweka mapingamizi hamkuipata hiyo % unajivunia nini kama siyo upumbavu? Acha kubisha vitu halisi wewe wapongeze UKAWA yaishe vinginevyo tutakutukana...
  9. M

    Freeman Mbowe ameliweka rehani jimbo lake la uchaguzi la Hai-Kilimanjaro

    Unabaati sana, yaani ungetaja unako toka ningekutafuta ili nikunyonye damu, zimwi mkubwa nina hasira na nyie,ccm hamtufai na hamsafishiki ninyi ni wezi. Onesha matokeo ya 2009 ya hilo jimbo kama unayo hapo ndiyo tukuamini, nyumbu wewe.
  10. M

    CHADEMA yaizika CCM Ukonga

    Hakika tutafika tu, Mungu ni mkuu na anayesikia maombi, Vivaaa UKAWA.
  11. M

    CHADEMA: Tutawatetea mahakamani wakurugenzi waliowajibishwa na serikali

    wewe ni mzigo hapa jf, kama siyo gunia la misumari basi ni mtondoo wa mahabusu, yaani mahali kama Sengerema mmechapwa kipigo cha mbwa mwizi halafu munamfukuza mkurugenzi mnamaaniosha nini? Ama kweli mwanadiwani ni mzigo hapa jf.
  12. M

    CHADEMA: Tutawatetea mahakamani wakurugenzi waliowajibishwa na serikali

    wewe mwanadiwani wacha kujifanya hauelewi, Sengerema mmeshindwa vibaya,sasa huyo mkurugenzi alikosa nini? wewe ccm wanapta kura 47 na upinzani 358 unambebaje huyo mtu? mmewaonea bure hawa wakurugenzi, mfukuzeni wa Ilala na Kinondoni ambao wameshindwa kufanya chaguzi kwa kukosa au...
  13. M

    CHADEMA: Tutawatetea mahakamani wakurugenzi waliowajibishwa na serikali

    kesi ya mbuzi kwa hakimu fisi, mwanadiwani wewe ni maji taka, ccm hamna jinsi mtu unavyoweza kuitetea, hawa wkurugenzi walipewa agizo wahakikishe kwa gharama yoyote ccm inashinda ila kiukweli ccm imegaragazwa ndiyo maana wametemwa,sasa nauliza mtu wa ccm amepata kura 17 na wa upinzani 17500 je...
  14. M

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    wewe ni zimwi kamwe hamtaweza kututenga na mabadiliko, mlisema CUF ni chama cha udini na kweli mkatushinda leo mnasema CHADEMA ni cha wachagga ila ukweli ni huu; ccm mmepigwa chini maeneo mengi na wenye CHADEMA ni wale wanaoshinda huko mtaani, wewe undoa upimbi wako huku jf.
Back
Top Bottom