Recent content by msemajinamtumbo

  1. M

    PreGE2025 Harakati za RC Juma Homera katika jimbo la Namtumbo, zinaharibu kazi nzuri inayofanywa na Rais Samia

    Wananchi wa wilaya ya namtumbo wamekosa Amani ya kurudi kwao Kwa hofu ya kiongozi wao au mbunge wao kuwanyima Amani 1.kiongozi huyo anatunyima Amani watu wazawa wa wilaya hiyo amekuwa akitunyanyasa tunashindwa hata kufanya jambo la kifamilia kwahofu ya huyo mbunge kutuma watu wake na kuleta...
  2. M

    PreGE2025 Vita Kawawa achia jimbo, unapinga maendeleo hata kwa ambao hawajatangaza nia ya kugombea. Achia Namtumbo yetu tunateseka sana

    Mheshimiwa Juma Zuberi Homera ambae ni mkuu wa mkoa wa mbeya ameonyesha kuwa kiongozi aliyejitolea kuleta maendeleo na mabadiliko chanya popote anapohudumu tangu yupo TUNDURU na baadae KATAVI. Uongozi wake umekuwa na mchango mkubwa katika kuinua maisha ya jamii, na ameacha alama ya kudumu kila...
Back
Top Bottom