Recent content by Msemahaki kapata Rungu

  1. M

    Ni aibu na fedheha kwa Tanzania kuwekwa kundi moja la kihalifu na nchi za Myanmar na Afghanistan

    Du, hatari. Yaani rushwa ya viza tu, unakubali kuwauza watanzania milioni 60. Aiseee! Tuko mbali. Biashara ya utumwa karibu inarudi tena Afrika.
  2. M

    Ni aibu na fedheha kwa Tanzania kuwekwa kundi moja la kihalifu na nchi za Myanmar na Afghanistan

    Ndugu amka. Wajuzi wanasema, mabeberu wakikusifia ujue wewe ni mbaya sana kwa wananchi wako. Jiulize kwanini? Amka!
  3. M

    Maombi ya Tanzania na Uganda kuondolewa uanachama Jumuiya ya madola yawasilishwa Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG)

    Hizi ni kauli za padre anayesema, fuata maneno yangu na usifuate vitendo vyangu. Nani ndio baba wa commonwealth? Yeye afanye makosa ni sawa na wala tusimhoji, nawe unakubali hilo. Halafu hiyo nchi ndio iwe kiongozi wako. Wanaokwenda kutibiwa huko wanalipa, biashara haina adui - toka east mpaka...
  4. M

    Maombi ya Tanzania na Uganda kuondolewa uanachama Jumuiya ya madola yawasilishwa Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG)

    Marekani haikujiunga na Commonwealth, unajua kwanini? Uingereza chini ya Tony blair ilipoanzisha vita na kuua raia wasio na hatia haikuvunja makubaliano ya Commonwealth na Geniva convention? Wameshtakiwa wapi? Acheni uchawa kwa mabeberu, hamtafaidika chochote.
  5. M

    PostGE2025 Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania

    Ikafanye uchunguzi Iran, kufuatilia raia zaidi ya 200 waliouawawa na Serikali ya Amerika ikishirikiana na Israel. Hivi wewe mtoa hoja huoni aibu!
  6. M

    Maombi ya Tanzania na Uganda kuondolewa uanachama Jumuiya ya madola yawasilishwa Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG)

    Beberu hakusaidii hata siku moja wewe muafrika. Sijui akili zitawafika lini, ili muondokane na ukoloni mambo leo. Nawasikitikia sana. Kaishini Ubelgiji kama hao mabeberu ni jibu.
  7. M

    Rasmi CHADEMA yakubali kuingia katika Maridhiano watoa Masharti mawili

    Hahahahaaaaaa! Yangu macho na masikio. Narudia, Kitachowasalimisha CHADEMA kutoka katika ujima na mazungumzo......Maridhiano. Vinginevyo CDM imekufa. Muda ndio jibu. Kama hukumuelewa mtoa hoja, muda utakuwa jibu sahihi.
  8. M

    Picha: Kesi ya Lissu imehudhuriwa na watu mbalimbali wengine kutoka nje ya nchi

    Mpaka mwisho wa dunia, kamwe Lissu hawezi kuwa Rais wa TZ. Kinachowezekana ni kuifuata familia yake Ubelgiji. Na ile hadhi ya ukimbizi aliyeomba imeshaiva, kapatiwa tayari. Yeye ni kusepa tu huko.
  9. M

    Rais Samia: Mtu akikusema vibaya, Balozi unatakiwa kujibu kwa heshima, mimi siwezi wakinikera, nabwatuka tu!

    Alshasema toka zamani kuwa ukinizengua.... nami nakuzengua...... Kwani hamkumuelewa. Kwanini mna vichwa vigumu. Ndio maana mlituma vijana okt mkidhani anatania. Na bado mnataka kurudia tena, wakati alishasema nyie njoeni tu mimi..........
  10. M

    Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumwombea Rais Samia dhidi ya 'Watu wabaya'

    Kwenu peponi ni kwa wafadhili wenu, nje huko west na marekani. Waliomuangusha Gadafi waliterajia hivyo, lakini mpaka leo toka 2011 wameshindwa kufikia hata robo ya aliyoyafanya Gadafi wakati wa utawala wake. walichokiweza ni kumuua mtoto wa Gadafi - Salif Gadafi kwa kuwaahidi nchi ya ahadi...
  11. M

    Askofu Rweyongeza: Hakuna taifa litakaloweza kuiangusha katoliki

    "Ndio mama wa serikalu zote." Mliaminishwa hivyo, mkafundishwa hivyo na mkayaishi maisha hayo. Jidanganyeni tu.
  12. M

    Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumwombea Rais Samia dhidi ya 'Watu wabaya'

    Kuanzia Feb7, Kitima na Lissu wamefungwa mikono yao, midomo yao, miguu yao na kila baya wanalolifiria juu ya ikulu lisifanikiwe. Huyu Askofu kapigilia msumali wa chuma kikali.
  13. M

    Lissu akiachiliwa hiyo tarehe 9 sasa ndipo uchaguzi utarudiwa kwa nguvu zote za wananchi kwa sasa bado hatujafanya uchaguzi wowote

    Taifa limeshaamua, uchaguzi 2030. Unataka waamue nini tena. Sema wewe umeamua uchaguzi mwaka huu. Ingekuwa rahisi kama hivyo, hata mimi nilitaka na kuamua kuwa mbunge mwaka huu na ingewezekana...Hapana. Mchezo hauendi hivyo! Rudi tena jikoni.
Back
Top Bottom