mm ninadhan anaye kuwa na uchungu na ww anapenda uwe kama yy kama anatabia nzuri na anapenda usiwe kama yy kama anatabia mbaya, sijawahi sikia kaka anachukia kama dada yake anaolewa ila anachukia dada yake kama anachezewa ingawa yy anachezea wa wengine!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.