Recent content by MSALARY

  1. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta taasisi ya mikopo Dar es Salaam

    G MICROFINANCE CHAPU KWA HARAKA
  2. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    ah! sa mi ntabishana na mwanafunzi wa VETA ntakuwezea wap elimu ndogo tatzo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    siajabu miongoni mwa watu ambao izo fedha hawajazilipa ukawa nawewe umo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Pesa ya boom yapunguzwa

    Rudi shule kaka utazipata na wewe upate mtaji ununue kiwanja ujenge nanyumba sindohuwa malengo ya wanafunzi wanapoomba mkopo ila ukishapewa zinapitaga kama upepo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    dah bro umeongea ukweli mtupu apa kunauzembe unaofanywa na watumishi wahiki chuo madhara yanabaki kwetu. hata kufelishwa apa nikawaida chuo nikigumu sana iki. serikali inabidi ikitizame kwa jicho la tatu kwakweli
  6. M

    JamiiForums Tanzania Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

    daaah maisha bila mkopo chuo nimagumu sana hasavkwa sisi watoto wa masikini
  7. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    sawa nimekuelewa mkuu nimesoma shule ya kata ndiyo we mwenzangu ulisoma vibasi vya njano eti
  8. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    sina supp wala carry mkuu au nkupe password uangalie matokeo sisemi vitu kwakubahatisha ningekua nasupp nicngepiga kelele apa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    nimewasiliana nae anasema wanalishughulikia wao HESLB kwahy tuwe wavumilivu asa sijui litashughulikiwa kweli au ndotunadanganywa tu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    yani umeandika hoja yamsingi chini umeamua uchekeshe umati bongo bwana
  11. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanafunzi mwaka wa pili na watatu tumefutiwa allocations za mkopo na mpaka dakika hii hatujapata boom

    ee ndotunaandikaga ivo mkuu ila angalia sifa mbaya afu mtoto wakiume mwenzio unamwambia ivo mwandiko kwan m nlikwambia mwalimu wa kiswahili
Back
Top Bottom