Recent content by Msalagambwe

  1. Msalagambwe

    Ulimi wamkaanga Mashinji wa CHADEMA ajisalimisha kwa Polisi kama alivyotakiwa kufanya

    Unawaza kisengele nyuma kama kada wa CCM. Makachero wa M16, Mosad au Scotland Yard kamwe hawawazi kinyonge namna hii. Watu mnawaza kifukara mpaka tunashindwa wapi tuanzie kujibu hoja zenu maana hoja zenu ni dhaifu mno hata ukizilaza taratibu zinasambaratika. Na kwa kawaida tunajibu hoja zile...
  2. Msalagambwe

    Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

    Dereva yupo Nairobi anatibiwa kwa sababu japo hakupigwa risasi naye pia ameathirika. Kwetu sisi maamuma kuathirika ni lazima utokwe kidonda upele au uvimbe ngeu. Hakuna kuathirika kiakili wala kisaikolojia. Polisi watulize mlonga wasubiri arudi. Kiushauri tu, kama ni lazima kumuhoji dereva sasa...
  3. Msalagambwe

    Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

    Napoteza muda wangu bure, kumbe najibizana na mtu aina ya mkuu wa mkoa Daudi Balyangili Bashite. Nimekusamehe kiroho na kimwili
  4. Msalagambwe

    Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

    If you did not read how do you think you are entitled to respond towards what I wrote? Haa haa. Very interesting
  5. Msalagambwe

    Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

    There is never a stupid question. Never. But always there are stupid statement,stupid quotation and stupid words. One of the most stupid thing is to respond "Rubbish" to a question or questions. Haaa haaa haaa haa
  6. Msalagambwe

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Yesu alichapa watu bakora hekaluni na kupindua meza zao waluofanya biashara hekaluni. Hicho kilikuwa kisasi? Hiii hiii hii
  7. Msalagambwe

    Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

    Kwa nini Tundu Lissu katika risasi 32 zilimpata 5 tu? Kwa nini? Kwa nini Tundu Lissu hakupigwa risasi hata moja kifuani? Kwa nini? Kwa nini Tundu Lissu hakupigwa risasi kichwani? Kwa nini? Hebu fikiria wale jamaa nilio watuma ni professional KILLERS lakini hakuna risasi ilimpata mahali...
  8. Msalagambwe

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Ni kwa mkono WA Mungu amepona. Lakini..... Who wants Tundu Lisu dead? Magu. Nani ana donge la kufa MTU na Tundu Lissu? Magu Hatumung’unyi Tena. Magufuli anahusika Moja kwa Moja na jaribio lililoshindwa mbaya la kumuua Tundu Lisu. Magufuli ZHe KEllEr
  9. Msalagambwe

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Hii ni taabu ya mazoea ya kunyonga na kunyofoa kichwa. Kama unaizimia China si ungewish wewe ungekuwa huko ili ufaidike na kunyongwa! Au ndiyo maana serikali inajaza wachina ili siku moja wawe wapiga kura wenu muweke mambo kaa China? Kuwaza kwingine ni shida.
  10. Msalagambwe

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Paradigm shift has caused a realm shift. This is just a beginning.
  11. Msalagambwe

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Kimetoa tamko na kulaani Jaribio lililoshindwa la kumuua Mheshimiwa Tundu Lissu

    Victim namba moja wa Magufuli ni CCM. Katibu Mkuu wa CCM yuko chini ya ulinzi tangu Magufuli aliposema katumwa India kutibiwa,labda ukiwa Rais ndiyo unaweza kumtuma mtu kutibiwa?hata sijui. CCM imesambaratika kuliko Chama chochote Tanzania kwa sababu imeingiliwa na Maharamia kupitia Mlango wa...
  12. Msalagambwe

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Aka! Andika sala yako mwenyewe kisha umtaje huyo Mungu wa Dunia hii uliye mwandika hapo juu. Ukristo ni personal relationship yangu na Yesu, Who are you between me my faith and my Jesus?
  13. Msalagambwe

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Katika Jina la Yesu kristo wa Nazareth. Zile risassi zilizo mkosa Tundu Lissu nazifinyanga upya katika ulimwengu wa roho na kuzirudisha kwa kila mmoja kwenye meza iliyotumika kupiga mchoro wa kumuua Tundu Lissu. Risasi hizi zirudi kwao kwa mwendo uleule nia ileile na kuleta madhara...
  14. Msalagambwe

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Moja yaManatumizi Mabaya ya sentensi za kiswahili ”Watu wasiojulikana ” Utalisikia Neno Hilo hata pale video ya mhusika na jina lake vikiwekwa hadharani. Nafunika vinywa vya viongozi wote Tanzania kwa Damu ya Yesu
  15. Msalagambwe

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Hats Nyerere hakuua wazungu ili hoja zake zikubalike. Huyu mwenzetu vipi kulazimisha hoja zake kwa risasi? Bombadia wee nakupenda sana nipo tayari kuua kwa ajili yako
Back
Top Bottom