Recent content by Msafiwaakili

  1. M

    Naomba PDF ya kitabu cha The Secret kilichoandikwa na Manly p. Hall

    Habari namna gani hapa? Ndugu zangu nahitaji msaada kwa mtu mwenye pdf ya kitabu cha THE SECRET kimeandikwa na MANLY P.HALL,naomba anitumie.
  2. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    [emoji28][emoji28]dah na ukipata mlo tu unaridhika hamna kufanya maendeleo
  3. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    Gharama za uendeshaji wa mahindi hauwezi linganisha na korosho.
  4. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    Elimu ya pesa na uwekezaji inapaswa kutolewa ili kupunguza tatizo hili,afu na kingine bei za mazao zinamnyonya sana mkulima kwa sababu wanaonunua ni middle men wasio na huruma kwa mkulima.
  5. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    Ni kweli na hii ni kwa sababu umakondeni hamna mazingira wezeshi ya kufanya uwekezaji,hivo bhas watu wakipata pesa wanaukimbia mkoa .Nafikiri kama mkoa ungekuwa na miradi mbalimbali ya maendeleo bhas watu wengi wangevutiwa na hiyo mikoa na wamakomde pia wangejenga na kuwekeza kwao.
  6. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    Uneongea point asee,nahisi suluhisho ni namna ya kuipata hiyo creativity unit spirit ambayo itatufanya tufikie lengo.
  7. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    Hahahaa yaan kama ikishindikana kabisa mkoa ugeuzwe tu shamba au production area kieleweke kimoja,lakin yale ndo mapambo ya nchi asee[emoji22]
  8. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    Inauma asee, kama kuna kitu kinakosekana weka hapa niongeze nyamanyama kwenye uzi.
  9. M

    Yafanyike haya ili ku-boost mikoa ya Kusini iliyolala

    Matumaini yangu ni wazima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwanza kabisa nianze kwa kuisifu,eeeh bhanaa hamna mikoa mizuri hapa Tanzania [emoji1241] kama mikoa ya kusini hasa hasa ile iliyopitiwa na bahari yaani MTWARA na LINDI sijajua hata tulikwama wapi kuifanya iwe kama Istanbul...
Back
Top Bottom