Kweli. Wanaposkia accent wanaamini mwanamme in mzuri. Huku Kenya walikuwa wanaolewa na Wanigeria Wahuni wenye ni majambazi hadi Waziri wa mambo ya ndani akaweka sheria. mwanamme hawezi kuwa dependant wa mwanamke kwa ndoa, itabidi wapate work permit na residency kama wengine hata kama wameoa...
Naelewa wan awake ni wale wale lakini wanaotoka maeneo mwingine ni wazuri kidogo kuliko wengine.Huku kwetu waKenya wanatoroka wan awake kutoka maeneo ya kati
Mimi ni Mkenya na niko na jamaa wameoa mabinti toka Tanzania.
Nimependezwa sana na ukarimu na unyenyekevu wao. Wanawake wengi huku Kenya ni Magaidi, kiburi, wanapenda kushindana na wanaume kwa ndoa na wanajifanya wazungu kuliko hata wazungu wenyewe, ukijaribu kujadiliana nao wanaforce accent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.