Nimejaribu kufatilia izi nafasi za MDA na LGA post zilizotoka tarehe 19 April tangazo lake la kuitwa kwenye usahili wameitwa wote isipokuwa afisa maendeleo ya jamii na mhudumu wa jikoni hii ina maana kuwa 😂😂na sisi jambo linakuja soon tujipange au?
Halafu mbona unakuta wengine kwenye ilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.