Recent content by Ms Beatrice

  1. Ms Beatrice

    Natafuta kazi yoyote, nimesoma Maendeleo ya Jamii

    That's true issue ni mtaji
  2. Ms Beatrice

    Natafuta kazi yoyote, nimesoma Maendeleo ya Jamii

    Habari, Mimi ni Binti Nina miaka 24 Niko arusha. Ninatafuta Kazi. Niko tayari kufanya Kazi yoyote halali eneo la Arusha. Nina elimu ya chuo kikuu, kupitia kozi ya maendeleo ya jamii. Nina uwezo wa kuwasiliana vizuri, kufanya Kazi kwa usimamizi Mdogo au bila usimamizi na kuleta matokeo mazuri...
Back
Top Bottom