Ms Beatrice
New Member
- May 22, 2021
- 4
- 5
Habari, Mimi ni Binti Nina miaka 24 Niko arusha. Ninatafuta Kazi. Niko tayari kufanya Kazi yoyote halali eneo la Arusha.
Nina elimu ya chuo kikuu, kupitia kozi ya maendeleo ya jamii.
Nina uwezo wa kuwasiliana vizuri, kufanya Kazi kwa usimamizi Mdogo au bila usimamizi na kuleta matokeo mazuri. Pia nina uwezo wa kuandaa na kusimamia miradi.
Sio lazima Kazi niliyosomea, nahitaji Kazi yoyote ya kipato chochote.
Karibu PM kwa waliotayari kuni support, connect na kuniajiri.
NB: usinitafute kama una mambo mengine tofauti na Kazi.
Nina elimu ya chuo kikuu, kupitia kozi ya maendeleo ya jamii.
Nina uwezo wa kuwasiliana vizuri, kufanya Kazi kwa usimamizi Mdogo au bila usimamizi na kuleta matokeo mazuri. Pia nina uwezo wa kuandaa na kusimamia miradi.
Sio lazima Kazi niliyosomea, nahitaji Kazi yoyote ya kipato chochote.
Karibu PM kwa waliotayari kuni support, connect na kuniajiri.
NB: usinitafute kama una mambo mengine tofauti na Kazi.