Kilele cha mashindano ya miss world kimekamilika huku Kwa africa mashariki tukifanikiwa kuwakilishwa na Uganda ambao wamefanikiwa angalau kuingia katika tano bora.
Kama Uganda wamefanikiwa kuingia tano bora...unahisi tatizo ni nini hasa tanzania tumeshindwa huku uganda wakifanikiwa?
Nimeona...
Mwana falsafa na mfanya biashara mkubwa Dunia PORTER aliwahi kusema moja ya njia ambayo unaweza kumuua mshindani wako kwa urahisi ni kutengeneza ushirika na mshindani wako....Hii husaidia katika kujua mapungufu ya mshindani wako ikiwa ni pamoja na kujua ni wapi ameegemea
Wakati wakoloni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.