Niko OG, maana nishapima mara nyingi sana ila nipo OG tu.
Ilifika wakat mtaani watu wanasema mwamba kaoza!!.
Ila kila nikienda kufanya checkup ya damu lazima nipime na HIV......
Asante sana........
Okay, uishi miaka 💯.
Nimependa ushauri wako, kujishikashika usoni na kutumbua kweli hapo huwa naferi, pia kubadili bidhaa huwa nawahi sana, nitafanya kama ulivyosema.
Pia nitachukua na sunscreen....
Facewash huwa natumia CeraVe foaming cleanser,, nitaongezea ambavyo sina asante.
Cha msingi mimi naona bora waje upande wa pili..
Maana huku naona kama kupo vizuri hivi!,
Hakuna chengachenga, wanamafundisho mazuri kweli..
Al Quran: 5:90
---
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ...
Daah asante sana, ni kweli kabisa salicylic acid ni nzuri sana, na ndo bidhaa nazo tumia sasa, sijui kuna vitu labda nakosea. Pia kujifukiza ni miongon mwa mbinu ambazo nishawahi fanya.
Nashukuru umeniongezea kitu.
Nitatafuta hiyo dawa ya minyoo,
Kuna tofaut kati ya chunusi na Acne ....
Chunusi kwa kingereza zinaitwa pimples .
Acne hakuna jina la kiswahili,
Ila kuna definition of Acne......
Acne is a skin condition that occurs when your hair follicles become plugged with oil and dead skin cells. It causes whiteheads, blackheads or...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.