Mrucy Paul
Member
- Oct 31, 2023
- 18
- 15
Mimi nina sumbuliwa na "Chronical Acne", zinaninyima amani mbele za watu, nakuwa uncomfortable , hata kumtizama mtu usoni inakuwa ni ngumu. Umri unaenda bado zipo, mpaka sasa 30 yrs
Inafikia hatua ukimtizama mtu usoni, maada inabadilika anaanza kunishauri tena mara tumia sabuni ya ngwanji, mara Dettol soap, mara tumia lemon, mara paka mkojo wa punda. Wakati huu mimi nimetumia product kubwakubwa kama:
CeraVe, The ordinary products, Vovi deep pole cleanser, Nax n.k lakini ngoma bado, ndo maana nimeziita Chronical Acne
Naombeni ushauri, nitumie nini ili nikae vizuri, Au nifanye nini ili niwe na amani japo kidogo hata nikiwa mbele za watu... Mawazo yenu ni faraja kwangu.....
Sent from my JamiiForums mobile app[/URL]
Inafikia hatua ukimtizama mtu usoni, maada inabadilika anaanza kunishauri tena mara tumia sabuni ya ngwanji, mara Dettol soap, mara tumia lemon, mara paka mkojo wa punda. Wakati huu mimi nimetumia product kubwakubwa kama:
CeraVe, The ordinary products, Vovi deep pole cleanser, Nax n.k lakini ngoma bado, ndo maana nimeziita Chronical Acne
Naombeni ushauri, nitumie nini ili nikae vizuri, Au nifanye nini ili niwe na amani japo kidogo hata nikiwa mbele za watu... Mawazo yenu ni faraja kwangu.....
Sent from my JamiiForums mobile app[/URL]