Recent content by mrsmaiko

  1. M

    JamiiForums Tanzania KERO Kuweka faini kwenye SGR ili kubadili tarehe ya safari si sahihi

    Kwa kweli niwapongeze na awamu ya sita huduma ni nzuri nzuri sana.na kwa kweli mnatusaidia sana. Tunasafiri raha mustarehe. Kidogo naomba mnisaidie na maoni. Adhabu ya kubadili tarehe kwa kutozwa hela tena. Hela nimeshatoa imeingia nimepatwa na dharura nahitaji ku reschedule tiket kupeleka...
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu: Polisi waache kumtafuta Askofu Gwajima, Muacheni aendelee na ibada zake tujenge umoja wa kitaifa

    Sasa naanza kumuamin habil https://youtu.be/HxhQsqOlugM?si=lp9NZm5WDWtOTVcK
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wanajeshi kutoka Uganda wadaiwa kuingia Tanzania kuzuia maandamano ya Gen Z Oktoba 29

    The only problem. Tatizo naloona nawaza uganda tuliwachapa sana wakat ule wa msuguri.whatnif ikowa hawajpona machungu?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung Galaxy A16 inauzwa

    M Watanzania kulaliana ndio zetu. Simu ina week toka inunuliwe. Sawa na umeambiwa ni mpya. Au unaziamini zile simu used na zimeshafunguliwa na mafundi. Simu ina week unaitia kasoro. Haya ubarikiwe.nyie hamkosekani
  5. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung Galaxy A16 inauzwa

    Bei ni 350. Rang ni silver. Ipo full box na usb type C . Picha sasa labda kuomba simu ipigwe ndio ipostiwe. maana ndio hii hii. Naitumia Haina kasoro yoyote .
  6. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Samsung Galaxy A16 inauzwa

    Brand new.imenunuliwa week iliyopita. Inauzwa. Sababu za nje ya dharura.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mama Samia ndio Rais asiye mashughuri Tanzania kuliko wote tangu kupata uhuru

    Mimi nalia Dodoma imebaki yatima. Miradi ya barabara kufungua maeneo ni kama imekufa. Enzi za Magu njia ya Nzuguni palikuwa pori ila palipowekwa lami tu pakafunguka. Hili lilipaswa liendelee, lami zifike kila kona walau vumbi lipungue. Imebaki ring road tu.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nyerere Square Dodoma

    eneo hili ni mojawapo ya mipango bora kabisa ya iliyokuwa mamlaka ya uendelezaji mji. CDA. wali plan vizur sana miaka hio ya 1970s kwa kuweka bustan ya kupumzika. jembe mwamba alivokuja akapaboresha sana sambamba na kuhamishia makao makuu kwa hali ilivo sasa ni kama laiti pangetengewa hata 1% tu...
  9. M

    JamiiForums Tanzania KERO Walinzi SUMA JKT vituo vya SGR kukagua nguo binafsi wakati begi limeshakaguliwa na mashine si ustaarabu

    Hatukatai lazima kila kitu kiende kwa standard za kimataifa, ila wanachokifanya SUMA JKT ukisha scan beg anafungua wanaanza kupangua chupi moja moja mabeg yenye faragha za kinamama. Wakati mwingine najiuliza mtu ameshascan beg linaonekana kila kilichomo na mzigo amesha uwrap, kinachofanya SUMA...
  10. M

    JamiiForums Tanzania KERO Vyoo ofisi za Azam sea tax havifanyi kazi

    Huduma ya choo ni muhimu kibinadamu na hongera kwa kuweka vyoo pande zote mbil, shida inakuja mnavifunga kwa kusema vibovu. Sio sawa, kama vibovu vikarabatiwe na ili kuweka hali maridhawa chaji hata sh 200 kama wenzenu wa TEMESA choo chao kipo vizuri sana. Nyie mmeweka vyoo ila kila ukisha scan...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hayati Jpm.

    Dah .... Nilimpenda sana sana Magufuli... Huyu kanisababishia niwe mfuatiliaji wa Habari sana hapa Tanzania... Kila siku nilikuwa natamani kusikia kitu kipya... Siku Giza lililopomkuta... Nakumbuka ... Nilikuwa nje kikazi... Mhhhh ... Ile nafika nyumbani saa sita usiku, kwa vile nilikula huko...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Afisa mazingira dodoma, huyu anayejenga ghorofa hapa barabara ya 8 anavunja mbao za zege Mawe yanaanguka na hajaweka kingo

    umelala? huyu anayejenga gorofa hapa barabar ya 8 anavunja mbao za zege Mawe yanaanguka na hajaweka zile kingo. vibarua wake wamekazana kutoa mawe kwa jeuri wala hajali watu.anasimama akiona gar tu kwa vile anaogopq kulala ndani.ila.maisha ya watu je? njoo haraka uone watu wanavopiga kelel...
  13. M

    JamiiForums Tanzania sheli ya puma dege mnatufelisha

    ndio uzi tyari.we unakuta mtu anakaa mbutu katoka na timing aweke mafuta dege.kufika hawauzi sasa si usumbufu huo.naona sheli inawaka taa.ila hawauzi.
  14. M

    JamiiForums Tanzania sheli ya puma dege mnatufelisha

    tumetoka na hesabu tuweke mafuta dege.kufika sheli imefungwa. nini tatizo? mnasabisha timing zinaharibika mtu anatoka na hesabu anafika dege hamfanyi kazi???
Back
Top Bottom