Recent content by Mrs milas

  1. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Nitajitahidi kupima mkuu na nitaleta mrejesho, asante sana mkuu.
  2. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Mkuu tumeambiwa tuwe wapole kama hua/njiwa ila werevu kama nyoka. Asante kwa mchango wako mkuu mdukuzi.
  3. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Shukrani sana mkuu. Nikipata majibu ya sukari basi nitajua nifanye nini, mkuu ila itakuwa rahisi kupenya muhimbili kupima hii kitu kweli?
  4. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Mkuu naongelea maji ya kawaida ya kunywa ASANTE. " heri nusu Shari kuliko Shari kamili"
  5. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    [emoji15] [emoji15] [emoji780] [emoji780] [emoji780]
  6. Mrs milas

    Tatizo la kuona kwa mjamzito

    Mkuu pamoja na kuwa huna pressure angalia sana chumvi kuwa makini siyo kitu kizuri wala sio kawaida kama unavyoweza kudhani.. Kila la heri
  7. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Nimesikitika sana. Kitokacho MTU ndicho kilichomjaza.
  8. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Asante kwa ushauri mkuu.
  9. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Amen, mkuu kuna vizazi bila kuviombea vina laana!
  10. Mrs milas

    Mwanamke kutofika kileleni, nini tatizo?

    Pole.. Taratibu tu..ukiweza wewe utamwekea historia mpya maishan mwake.kaza buti
  11. Mrs milas

    Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

    Chanzo cha kisukari mamba moja ni kipi? Nini kinasababisha seli husika kushambuliwa?
  12. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Asante mkuu. Naamini mungu atanionyesha njia japo nimeanza kuogopa kiaina dahhh.. Naendelea kujifariji mana uzito wangu na urefu vinaendana..
  13. Mrs milas

    Unywaji Wa maji kupita kiasi.

    Naona vizuri kabisa mkuu, kiukweli nimekuwa mchovu sana ila nalihusisha na kushindwa kulala kwa utulivu kabisa sababu ya kuamshwa na mkojo. Aiseeee na muda wote napenda kulala kama sio kazi za watu asubuhi wala nisingeamka.. Namnyonyesha na mtoto Wa miezi 7 sasa. Afya yake supa kabisa Mkuu...
Back
Top Bottom