Recent content by Mropokwaji Mropokwaji

  1. M

    Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) mnapaswa kuisaidia Serikali kupunguza tatizo la ajira na sio kuwa kikwazo

    Kwa masikitiko makubwa nawasilisha malalamiko yangu kuihusu Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA). Kumekuwa na tabia ya kuchelewa kufanyia kazi maombi yanayowasilishwa kwa ajili ya kupata leseni za kutoa huduma za Uhasibu/Ukaguzi mathalani maombi yanaweza kuchukua...
  2. M

    TARURA Barabara ya Nguvu Kazi -Yongwe ni mradi?

    Naomba kuwasilisha kero ya barabara hii ambayo kwa zabuni namba AE/092/2022/2023/DSM/W/04 iliyotangazwa Mei 2022 ilitangazwa kufanyiwa maboresho cha kushangaza baada ya maboresho hayo barabara haikudumu hata miezi mitatu ikaharibika tena. Tangu mwaka jana barabara hii haipitiki na tunahisi...
Back
Top Bottom